Monday, July 10, 2023

TANZANIA (HOUSTON COMMUNITY) BEAT HAITI 7-1 IN A FRIENDLY

 













MHE. BALOZI DKT. ELSIE KANZA AONGOZA SIKU YA MAADHIMISHO YA LUGHA YA KISWAHILI DUNIANI JIJINI WASHINGTON DC

Bendera zikiwakilisha mataifa ya Afrika ndani ya jengo la Ubalozi wa African Union
Washington, DC, ambapo Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani uliadhimisha Siku ya Kiswahili Duniani, Ijumaa July 7, 2023 na Balozi wa Tanzania nchini
Marekani na Mexico Mhe. Dkt. Elsie Kanza (hayuopo pichani ) aliongoza maadhimisho hayo. yaliyohudhuriwa na wadau mbalimbali wa lugha ya Kiswahili wakiwemo Waheshimiwa
Mabalozi waalikwa pamoja na mwenyeji wao Balozi wa African Union nchini
Marekani Mhe. Hilda Suka Mafudze. Picha na Vijimambo Blog

Wa tatu toka kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na
Mexico Mhe. Dkt. Elsie Kanza akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake Mabalozi
waalikwa. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Eswatini Mhe. Kennedy Fitzgerald Groening
akifuatiwa na Balozi wa Ukraine Mhe. Oksana Markarova na wa mwisho kulia ni
Balozi wa Kenya Mhe. Lazarus O. Amayo

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Elsie Kanza akiongoza
maadhimisho ya siku ya lugha ya Kiswahili Duniani yaliyofanyika siku ya Ijumaa
 July 7, 2023 katika jengo la Ubalozi la African Union Washington, DC.

Balozi wa African Union nchini Marekani Mhe. Hilda Suka Mafudze (kulia) akitoa hotuba ya
ufunguzi siku ya maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani yaliyofanyika katika jengo la
Ubalozi la African Union Washington, DC. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini
Marekani na Mexico Mhe. Dkt Elsie Kanza akifuatilia hotuba hiyo. 

Watatu toka kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Dkt Elsie Kanza
akiwa na wageni wake waheshimiwa Mabalozi walioalikwa kuhudhuria maadhimisho ya
 siku ya lugha ya Kiswahili Duniani yaliyofanyika siku ya
Ijumaa July 7, 2023. Washington, DC.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Dkt Elsie Kanza akiwa na wageni wake waheshimiwa Mabalozi walioalikwa kuhudhuria maadhimisho ya siku ya lugha ya Kiswahili
Duniani yaliyofanyika siku ya Ijumaa July 7, 2023.

Wadau wa lugha ya Kiswahili wakifuatilia maadhimisho hayo yaliyofanyika siku ya
 Ijumaa July 7, 2023 katika jengo la Ubalozi la African Union lililopo
Washington, DC nchini Marekani.

Tuesday, June 20, 2023

UKODAK MOMENT OLD SCHOOL REUNION DMV SIKU YA IJUMAA

Kushoto ni Dj Dennis Shengena kutoka Minnesota akiwa sambamba na Dj Rexx kutoka Houston, Texas wakiwasha moto Karibu Night iliyofanyika siku ya Ijumaa June 16, 2024 Silver Spring, Maryland katika kiota cha Hakuna Matata Grill, huu ulikua usiku wa kwanza wa Old school reunion iliyokutanisha wadau mbalimbali kutoka kila pembe ya USA na sehemu nyingine Duniani. Picha na Vijimambo Blog.

Wadau wakifurahia muziki kutoka kwa Dj Dennis Shengena na mshirika wake Dj Rexx kutoka Houston, Texas 

Papa Kinyasi akiburudika na kanywaji huku akipunga upepo mwanana


JUMAMOSI YA OLD SCHOOL REUNION YABAMBA

Dj Dennis Shengena (kushoto mwenye suti ya blue) akiwarusha wadau waliofika DMV kutoka
kila pembe ya USA na Duniani kote, kulia ni NY Ebra akifurahia jambo na Dj Dennis, nyuma ni
 Dj Musmus ambaye alikuwa mshereheshaji wa usiku huo uliofanyika West Bowie Village Hall,
 Bowie Maryland nchini Marekani, Jumamosi June 17, 2023. Picha na Vijimambo Blog

Wadau waliohudhuria Old School Reunion wakiruka mangoma

Dj Musmus kutoka Michigan akipata ukodak moment