Tuesday, May 24, 2016

TEAM YA TANZANIA HOUSTON ( DSQUAD) KUSHIRIKI KOMBE LA DSO JIJINI DALLAS

DSQUAD
Timu ya soka ya Jumuiya ya Watanzania wa Houston inatazamiwa kushiriki michuano ya DSO inayofanyika kila mwaka wakati wa sherehe za Memorial katika Jiji la Dallas . Ratiba kamili inaonyesha Dsquad itakuwa kwenye kundi B katika michuani hiyo itakayokuwa na makundi matatu. Mshindi wa mashindano hayo ya siku mbili ( 28/29-05) atajinyakulia kikombe na kitita cha $1000



Ratiba

Ratiba
Ratiba
Zawadi ya Mfungaji Bora

Kombe la Ubingwa






No comments:

Post a Comment